News

Maalim Seif Sharif Hamad kuwa makamu wa kwanza wa Rais katika serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ). Kabla ya mtafaruku wa kisiasa baada ya kufutwa matokeo ya uchaguzi wa 2015, Maalim Seif akiwa ...
Kwa sababu ya Muungano wa miaka 57 ulioundwa na nchi mbili za Zanzibar na Tanganyika. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), hushirikiana katika mambo kadhaa.